Mafundisho gani yatiwe mkazo?

2 Comments

  • Rova Monga Olombi - 12 years ago

    Kwa kweli akuna comment yoyote juu ya neno la Mungu. Kitu ya kwanza ni UTAKATIFU na ndani ya iyo ndio utakuta UPENDO.MIUCHIZA,UCHUMI,UMOJA na utakuta MIUJIZA
    ndio nenola MUNGU.kwa mawazo yangu mimi mubarikiwe.ata wakati tunapo andika ama kusoma mawaiza iyi tayari tuko ndani ya UMOJA

    salamu kwenu wote kwa upendo ya Bwana

  • Mukama Killion Magafu - 12 years ago

    Tukifundishwa na kufundishana juu ya utakatifu, namna gani tunastahili kuishi kulingana na neno la Mungu tutakuwa tumepiga hatua kubwa katika maisha yetu ya mbinguni.Ni bahati mbaya sana kwamba kutokana na nguvu za shetani tunaona yale yaliyoko karibu na sisi tu wakati yale yaliyofichwa hatuyaoni.Kumbe yaliyofichwa ni sawa na Roho wa Bwana ambaye hatumwoni lakini ni yeye anayetusaidia kuokoka.na kitu kingine wakristo wa leo hupenda kujionyesha mbele za watu kuwa wameokoka kwa kutoa misaada mingi makanisani lakini ndani ya mioyo yao hawana Kristo wa kweli wamekataa kuubeba msalaba wao.Wanaogopa kuutesa mwili wao kwa kubeba msalaba.Huo ni unafiki katika imani.Na Mungu hapendi unafiki.Kama unataka mtumikie Mungu kwa dhati kutoka moyoni mwako na si vinginevyo

Leave a Comment

0/4000 chars


Submit Comment